


Wizara ya Mambo ya Utalii na Mambo ya Kale, kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mafunzo ya Amali Zanzibar (VTA), na TUI Care Foundation, imesaini Hati ya Ushirikiano (MoU) yenye lengo la kukuza na kuendeleza sekta ya urithi na utalii wa kihistoria visiwani Zanzibar.
Mkuregenzi Mtendaji Dr. Bakari A. Silima pamoja na Ndugu Soud Said Ali Mkurugenzi Muendeshaji wa Shirika la Biashara la Taifa Zanzibar (ZSTC) katika mahafali ya 2 Chuo cha Mafunzo ya Amali Makunduchi wakijionea bunifu mbalimbali zinazofanywa na wanafunzi hao.
Annoucements

TANGAZO LA KUJIUNGA NA MAFUNZO KAZI
Mamlaka ya Mafunzo ya Amali Zanzibar Inawatangazia wahitimu wa Mafunzo ya Amali (LEVEL III) kwamba kwa Kushirikiana na Ofisi ya Makamo wa Pili wa Raisi Pamoja na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP),Itaendesha Mafunzo kazi ya kukuza ujuzi Unguja na Pemba
Bonyeza kiunganishi kifuatacho ili kuweza kupata tangazo hili https://www.zvta.go.tz/Tangazo-VP2mafunzo.pdf
VTA by number
1894
Graduate Students
1798
Current Students
Welcome to Vocational Training Authority (VTA)
Vocational Training Authority (VTA) is a parastatal organization under the Ministry of Education and Vocational Training (MoEVT). It is assigned with the responsibility to:
-
Supervise vocational training by, determining the standards of the training’s, accessing/evaluating vocational training centers, registering vocational training centers, accessing/evaluating capacity and skills of trainers and trainees.
-
Coordinate vocational training by, conducting research of the employment market, preparing/formulating scheme (curricula, syllabus of long term and short term courses), dealing with the vocational training, enhancing capacity development and development of skills of the trainers and leaders of the vocational training.
-
Ensure the availability of adequate fund for the operating of the vocational training system;
-
Provide vocational training;
-
Confirm all certificates issued by the registered Vocational Training Centers.





