MAHAFALI YA TATU YA CHUO CHA MAFUNZO YA AMALI MAKUNDUCHI YAFANYIKA UNGUJA Mamlaka ya Mafunzo ya Amali Zanzibar (MMA) kupitia Chuo cha Mafunzo ya Amali Makunduchi leo imefanya Mahafali ya Tatu ya wahitimu wa mwaka 2025 yaliyofanyika katika viwanja vya chuo hicho, Mkoa wa Kusini Unguja. Mgeni rasmi katika mahafali hayo alikuwa Naibu Katibu Mkuu …
Mahafali ya Tatu(3) ya Chuo cha Mafunzo ya Amali Makunduchi. Read More »



