Mahafali ya Tatu (3) Chuo cha Mafunzo ya Amali Daya. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, imeweka kipaumbele katika kuwapatia vijana wake Elimu na Stadi za kazi zitakazowajengea misingi imara na bora ya maisha yao kupitia Mafunzo ya Ameyasema hayo, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar …
Mahafali ya Tatu (3) Chuo cha Mafunzo ya Amali Daya. Read More »

