The Revolutionary Government of Zanzibar
VOCATIONAL TRAINING AUTHORITY

Author name: VtaAdmin

MAADHIMISHO YA MEI MOSI 2025 YAFANA ZANZIBAR – MAMLAKA YA MAFUNZO YA AMALI YANG’ARA KATIKA MAONESHO Kizimkazi, Zanzibar – Alhamisi, Mei 1, 2025: Zanzibar leo imeadhimisha kwa mafanikio makubwa Siku ya Wafanyakazi Duniani, Mei Mosi, katika viwanja vya Kizimkazi Dimbanii. Maadhimisho hayo yaliyoandaliwa na Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Zanzibar (ZATUC), yamehudhuriwa na viongozi mbalimbali, …

Maadhimisho ya mei Mosi 22025 yafana Zanzibar. Mamlaka ya mafunzo ya amali yang’ara katika maonesho. Read More »

Mafundi 224 Watunukiwa Vyeti vya Utambuzi Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali, Mheshimiwa Lela Mohamed Mussa, amewatunuku vyeti mafundi wazoefu 224 waliopitia mfumo wa kujifunza nje ya mafunzo rasmi. Hafla hiyo imefanyika, Machi 19, 2025, katika Chuo cha Mafunzo ya Amali Vitongoji, Pemba. Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Waziri Lela amewapongeza mafundi hao kwa …

Mafundi 224 Watunukiwa Vyeti vya Utambuzi. Read More »

Scroll to Top