Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Mafunzo ya Amali Zanzibar Dkt Bakari Ali Silima leo Jumamosi ya Tarehe 09.11.2024, Ameshiriki katika kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Mashirika ya Umma 2024, Yaliofanyika katika Viwanja vya Mapinduzi Square (Kisonge) yenye kauli mbiu” *Uwepo wa Mashirika ya Umma ni kichocheo cha Maendeleo ya Uchumi”
news
Previous slide Next slide Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali ipo katika mchakato wa Mageuzi ya Sera ya Elimu itakayoruhusu mkondo wa Mafunzo ya Amali katika skuli za sekondari ili kuweza kuwandaa vijana mapema katika Nafasi za kujiajiri wenyewe. Ameyasema hayo Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Mafunzo ya …