Vitongoji Pemba -28 Julia 2025 Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe. Rashid Hadidi Rashidi Amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuweka vipaumbele kujenga na kuimarisha vituo vya Mafunzo ya Amali ili kutoa fursa kwa vijana kupata Mafunzo ya Amali na kuweza kujitegemea . Akizungumza katika Sherehe za Mahafali ya kumi na moja …
Mahafali ya kumi na moja (11) Chuo cha Mafunzo ya Amali Vitongoji. Read More »
